What to expect:

Title: Grade 10 Fasihi ya Kiswahili Schemes of Work for Term 1

Document Price:KSh 70.00

Summary

This MS Word document comprises Grade 10 Fasihi ya Kiswahili Schemes of Work for Term 1, 2026.
A PDF version is also available upon request.

The schemes of work cover 4 lessons per week and include the following Strands, Sub-strands, and Key Topics based on the KICD Curriculum Design:


1.0 Fasihi Simulizi

1.1 Utangulizi wa Fasihi Simulizi

  • Maana ya fasihi na fasihi simulizi

  • Sifa za fasihi simulizi

  • Umuhimu wa fasihi simulizi katika jamii

2.1 Hadithi (Hekaya na Hurafa)

  • Maana ya hadithi, hekaya, na hurafa

  • Sifa za hekaya na hurafa

  • Umuhimu wa hekaya na hurafa katika jamii

  • Uwasilishaji wa hekaya na hurafa (uigizaji)

3.1 Semi

  • Maana ya semi katika fasihi simulizi

  • Sifa na aina za semi

  • Kuainisha vipera vya semi

  • Umuhimu wa semi katika jamii

4.1 Ushairi Simulizi

  • Maana na sifa za ushairi simulizi

  • Kuchambua sifa za ushairi simulizi katika simulizi

  • Dhima za ushairi simulizi katika jamii


1.2 Ushairi

1.2.1 Uainishaji wa Mashairi

  • Maana ya ushairi

  • Sifa za ushairi kama utanzu wa fasihi

  • Kuchambua sifa za ushairi katika mashairi mbalimbali

2.2.1 Uchambuzi wa Mashairi (Makundi)

  • Maana ya ushairi arudhi na ushairi huru

  • Sifa za mashairi arudhi na mashairi huru

  • Kutambua na kuainisha mashairi ya aina zote mbili

3.2 Uchambuzi wa Maudhui na Dhamira

  • Maana ya maudhui na dhamira katika ushairi

  • Uchunguzi wa dhamira na maudhui katika mashairi teule

4.2 Uchambuzi wa Maudhui na Dhamira

  • Kulinganisha na kulinganua maudhui na dhamira katika mashairi mbalimbali


1.3 Bunilizi

1.3.1 Utangulizi wa Bunilizi

  • Maana ya bunilizi

  • Aina za bunilizi na vipengele vyake

  • Kusoma bunilizi kwa burudani

2.3.1 Tamthilia (Maudhui na Dhamira)

  • Maana ya maudhui na dhamira katika fasihi

  • Kuchambua maudhui na dhamira katika tamthilia teule

3.3.1 Tamthilia (Wahusika na Mandhari)

  • Maana ya wahusika na utambuzi wao

  • Sifa za wahusika mbalimbali

  • Maana ya mandhari na umuhimu wake

4.3.1 Tamthilia (Muundo na Mtindo)

  • Maana ya muundo na mtindo

  • Kutambua vipengele vya muundo na mtindo katika tamthilia


Main Reference:
Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) – Curriculum Design for Fasihi ya Kiswahili.

Preview first pages below for more details